Search in This Blog

KWA HALI HII MAGONJWA YATAISHA?

 
 Lundo la uchafu uliotolewa kwenye mfereji uliopo mbagala rangi tatu na kutupiwa pembeni ya mtaro huo bila kuja kuzolewa na kupelekwa mahala stahili. Sasa hapa Ni sawa na bure 
 
Mtaro kama unavyonekana kwenye picha baada ya kusafishwa kwa kutolewa uchafu na kurundikwa pembezoni mwa mtaro huo

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger