Search in This Blog

MAAPPLE KUTOKA MAKETE


Wakulima wa Matunda Wilayani Makete Mkoani Njombe wameeleza kuwa Kilimo cha Matunda ya aina ya Apple (sijui kimatumbi yanaitwaje) ni kilimo kisichotumia mbolea wala madawa ya viwandani kama wanavyoonyesha Wakulima hawa katika kijiji cha Ibaga wilayani Makete, kilimo ambacho kimekuwa kikitoa ahueni ya maisha kwa wakulima hao.

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger