Meya wa Boston amesema wakuu
wa Marekani pengine hawataweza kabisa kumhoji mshukiwa wa shambulio la
bomu katika Boston marathon kwa sababu ya jinsi alivoumia.
Alikamatwa Ijumaa wakati wa msako ambapo kaka ake aliuliwa na polisi.
Meya Tom Menino alipohojiwa na televisheni ya Marekani alisema anafikiri mashambulio hayo yalifanywa na ndugu hao wa kiume peke yao, na pengine hawakupanga kufanya mashambulio mengine.
chanzo: http://www.bbc.co.uk/swahili