Mtoto Abdallah anasumbuliwa na
tatizo la MOYO, Moyo wake ni Mkubwa, Kwa sasa Amelazwa Katika Wodi ya
Watoto Katika Hospitali ya Mnazi mmoja, ambapo anaendelea kupata
Matibabu lakini LENGO ni kusafirishwa Nje yaNchi. Pia Anasumbuliwa na
Maradhi ya Tumbo Kujaa Maji ambapo analazimika Kutolewa Maji Kila Baada
ya
Siku 3.
Kwa Yoyote Anayeweza Kutoa Kiasi chochote Cha Msaada Unaweza Kutumia Namba hii 0774 64 87 80 kuwasiliana Mama Mzazi wa Abdallah.