Search in This Blog

MTOTO ABDALLAH ANAHITAJI MSAADA WA HALI NA MALI

Mtoto Abdallah anasumbuliwa na tatizo la MOYO, Moyo wake ni Mkubwa, Kwa sasa Amelazwa Katika Wodi ya Watoto Katika Hospitali ya Mnazi mmoja, ambapo anaendelea kupata Matibabu lakini LENGO ni kusafirishwa Nje yaNchi. Pia Anasumbuliwa na Maradhi ya Tumbo Kujaa Maji ambapo analazimika Kutolewa Maji Kila Baada ya 
Siku 3.
Kwa Yoyote Anayeweza Kutoa Kiasi chochote Cha Msaada Unaweza Kutumia Namba hii 0774 64 87 80 kuwasiliana Mama Mzazi wa Abdallah.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger