Search in This Blog

MWINYI AONGELEA SWALA LA UCHINJAJI AKIWA NA WAANDISHI WA HABARI


 Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) aliowaita leo nyumbani kwake Mikocheni Jijini Dar es Salaam,wakati alipozungumzia swala uhalali wa kuchinja ambalo limekuwa ni gumzo sana hapa nchini kwa kipindi cha hivi karibuni.Mzee Mwinyi ametoa rai kuwa Swala hilo ambalo limekuwa na utata mkubwa na kupelekea kuzua vurugu kwa baadhi ya maeneo hapa nchini,kuwa liachiwe watu wenye dharura kama linavyoelekeza kwenye Moja ya Vitabu vya dini.
 Baadhi ya Waandishi wa Habari wamsikiliza kwa Makini Rais Mstaafu,Alhaj Ali Hassan Mwinyi.

 Rais Mstaafu,Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwa kwenye picha ya pamoja na Baadhi ya waandishi wa Habari waliofika nyumbani kwake Mikocheni Jijini Dar es Salaam leo
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger