Search in This Blog

POMBE NOMA: JAMAA BAADA YA KUTOSWA NA BEKI 3 KAAMUA KUGIDA VIROBA NA KUTEPETA KATIKATI YA MJI

http://sphotos-a.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-prn1/s480x480/524507_278508482284069_972988370_n.jpg  


Jamaa huyu kwa jina tumhifadhi baada ya kupigwa kibuti na demu wake inayosadikika ni beki 3 jamaa akaamua kugida viroba  na kutoa nishai kwa kujrudisha chenchi bar maarufu sana hapa mjin Dodoma, shuhuda wetu alizidi kutuarifu kuwa jamaa huyo alishindia chai na mikate na kwenda kufakamia pombe kali ambapo wenzake wanakula vyakula vya maana kama vile nyama choma na vingine ving tu

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger