Search in This Blog

FILAMU MPYA YA WEMA SEPETU. NDANI YUMO KALI RADO

Baada ya kufanya vizuri na filamu yake ya maduhu, hatimaye mwigizaji Simon Mwapagata ameanza kutengeneza Filamu yake mpya aliyowashirikisha mastaa mbalimbali akiwemo mrembo kipenzi cha wengi Wema Abraham Sepetu.
Akizungumza katika utengenezaji wa Filamu hiyo unaoendelea maeneo mbalimbali ya jijini Dar es salaam, Rado (Simon Mwapagata) amesema kuwa Filamu hiyo itafanyika mjini Dar es Salaam na baadaye mkoani Tanga.
Ndani ya Filamu hiyo, yupo mwigizaji mwingine mkongwe Deogratious Shija na Sudi…
Tazama picha za utengenezaji wa Filamu hiyo hapo


 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger