Search in This Blog

PICHA 50 ZA YALIYOJIRI KATIKA KILL TOUR DODOMA

Jukwaa liko tayari kwa Show Babkubwa itakayoangushwa na Wasanii mbali mbali waliopo kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013 ndani ya Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma hivi sasa.ambapo leo hii ni sherehe ya wakazi wa DodomaDj akiwa tayari tayari kwa kuangusha Bonge moja la Burudani.Mabaunsa wakiwa tayari washajipanga kwa kazi moja.Mlangoni mambo yako namna hii,kama huna tiketi inakula kwako.hata hivyo kiingilio ni buku 2 tu (elfu mbili ya kitanzania)Hii ni Foleni ya Kuingia uwanjani hivi Sasa.Sehemu ya kukatia tiketi nako mambo yapo namna hii,yaani ni full Kikwetu kwetu.....!!Wako kwenye foleni ya kuingia.Hata hawa jamaa pia wako hii ni katika sehemu ya kuhakikisha ulinzi umehimarika.Wazee wa East Afrikan TV wakiwa kamili kamili Uwanjani hapa.Kamera Man wa EATV mzigoniWazee wa kazi"Asie na Tiketi asisogee hapa..."Wakazi wa Dodoma wakiwa wamejitokeza kwa Wingi ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.




LINEX kwa stage

roma

Dula na zebwela kwenye stage walisimamia show




Wapenzi wa burudani dodoma wakiingia katika uwanja wa jamhuri dodoma kwa wingi sana.







 


 Aliyefungua omesho alikuwa Linex Sunday Mjeda


 Jamaa huwa anaimba kwa hisia kali sana


 ...aga...


 Kazi sasa...


 Ben Pol


 Kwa kuzikata huyu nae...


 Nyomi bado liko pale pale...


 Kulikuwa na mtiti balaa, mtu kibao si unajua zile?


 Kidume cha Hip Hop Tanzania kwa mujibu wa tunzo za Kili 2013 Kala Jeremiah..


 Hip Hop swagg


 Deejay Choka


 Roma Mkatoliki naye


 ..mistari tu...


 ShowLove ya Jide na Irene Kiwia


 Jide sasa..


 Prof Jizzle!


 Mzuka wa Joto hasira


Mzuka wa Profesa ulikuwa si wa kawaida jioni ya leo


...na show ikaishia hapo..
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger