MEYA wa mji wa Kampala nchini Uganda, Erias Lukwago, amelazwa hospitali
baada ya kupigwa na kutupiwa bomu la machozi ndani ya gari lake.
Inasemekana Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) nchini humo ndiyo
waliohusika na tukio hilo la kinyama.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema mmojawapo wa FFU a.k.a (Kina Ras
Makunja) alitumbikiza kombora katika gari la mheshimiwa na kumsababishia
maumivu makali.
Meya huyo ambaye ni mpinzani wa rais wa Uganda, Yoweri Museveni, alikuwa
katika maandamano na wafuasi wake mjini Kamapala kabla ya kushambuliwa
na kupigwa na polisi hao.
VIDEO HAPA:
VIDEO HAPA: