Luis
Suarez anatarajiwa wakati wowote kuwasilisha barua yake ya kuomba
uhamisho kutoka time ya liverpool na kuhamia timu ya Arsenal.
Mshambuliaji
huyo wa Anfield amesema sasa yupo tayari kuihama timu yake ya liverpool
na wakati wowote sasa atawasilisha barua yake ya uhamisho.
Wakati huo huo Liverpool wamesisitiza kwamba hawatomuuza mcheza wao huo kwa bei waliyotowa Arsenal ya paundi million 40.