Basi la Taqwa likiwa na abiria 51 likitokea Bujumbura
kuelekea DSM usiku wa kuamkia leo limetekwa na majambazi eneo la Mirade kata ya
Igguguno Mkoani Singida.
Abiria wamejeruhiwa kwa kupigwa huku pia wakiporwa vitu
mbalimbali.
Tutazidi kuwajuza zaidi kwa jinsi tutakavyopata habari za
tukio hilo