Search in This Blog

ANGALIA PICHA ZA VURUGU HUKO MBEYA



Polisi wakiwa katika ulinzi mkali 




Maduka yakiwa yamefungwa 
 





Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini hatma yao


Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu



Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote




Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA

Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia 



Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite





Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger