ELIZABETH Michael ‘Lulu’.
Lulu aliiposti picha hiyo kwa nia njema kabisa ambapo kuonesha kuwa
anamkubali Kidoti, alimwagia sifa kuwa ana uzuri wa ziada ndipo wafuasi
wa mtandao huo walipotema mbovumbovu.“Anampiga vijembe Wema huyu, mtoto mswazi sana huyu…mnafiki huyu mimi nishamjua hanipi shida siku hizi,” walichangia wadau tofauti mtandaoni.