Search in This Blog

NDEGE YAANGUKA NIGERIA



Ndege yaanguka muda mfupi tu baada ya kuruka kutoka 
 Murtala Mohammed Airport, Lagos, Nigeria. Kulikuwa na crew members 7 na abiria 20.
Hakuna ajuae kilichosababisha ndege hiyo kuanguka.

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger