Kilicho kua matumaini kwa Watanzania chawa giza totoro. Hii ni kutokana na jibu la Mh. Zitto Kabwe toka Geneva alikokwenda kufuatilia Mabilioni yaliyofichwa huko. Imeonekana kagonga mwamba tena wa jabali. Soma jibu alilowajibu Watanzania katika post yake fecebook.