Coletha Raymond ‘Koleta’.
Akizungumza na paparazi wetu Jumatatu iliyopita, Koleta alisema pombe
imekuwa tulizo kamili la moyo wake uliojaa majeraha ya mapenzi na
kwamba humuondoa katika hamu ya tendo la ndoa.“Mtu akitaka kukorofishana na mimi anishauri kuacha pombe, siwezi na nitakunywa hadi siku naingia kaburini. Pombe inanifariji, inaondoa hamu ya mapenzi,” alisema Koleta.