Search in This Blog

"SITAACHA POMBE HADI NITAKAPOKUFA".....KOLETA

STAA wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ ameibua maswali midomoni mwa watu kwa kusema kwenye maisha yake hafikirii kuacha kunywa pombe hadi atakapoingia kaburini.
Coletha Raymond ‘Koleta’.
Akizungumza na paparazi wetu Jumatatu iliyopita, Koleta alisema pombe imekuwa tulizo kamili la moyo wake uliojaa majeraha ya mapenzi na kwamba humuondoa katika hamu ya tendo la ndoa.
“Mtu akitaka kukorofishana na mimi anishauri kuacha pombe, siwezi na nitakunywa hadi siku naingia kaburini. Pombe inanifariji, inaondoa hamu ya mapenzi,” alisema Koleta.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger