Search in This Blog

BAADA YA MUMEWE AKATA RUFAA, HUKUMU YA KAJALA NOVEMBA 25 MWAKA HUU....

Kajala Masanja.
Msanii wa filamu Kajala Masanja atahukumiwa upya Novemba 25 mwaka huu, baada ya mumewe kukata rufaa. Hukumu ya rufaa ilibidi isomwe leo katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam lakini imeahirishwa baada ya Jaji aliyetakiwa kusoma hukumu hiyo kupata hudhuru!
GPL
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger