Search in This Blog

MAMA NA MTOTO WAKE WA MIEZI MINNE WACHOMWA MOTO HADI KUFA, SOMA HAPA KUJUA KISA.

Katika hali isiyo ya kawaida Majeshi ya ugaidi huko Nigeria yaliweza kuvamia kijiji na kusabisha mauaji makubwa, kati ya tukio ambalo linasikitisha ni pale ambapo walimkamata mama mmoja na kumbaka na kisha kumchoma moto yeye pamoja na mtoto wake mdogo mwenye umri wa miezi mi nne tu.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger