MASKINI! Msanii maarufu wa sinema za Kibongo, Michael Sangu ‘Mike’ amepata pigo la kuondokewa na dada yake, Salma Said na kujikuta akilia kama mtoto mdogo na kusababisha watu kuwa na kazi ya ziada kumbembeleza.
Mike Sangu akilia kwa uchungu baada ya kuondokewa na dada yake.
Ads not by this site
source:gpl