Madai hayo ya Baby Madaha yanaweza yakawa na ukweli ndani yake kwa hiki ambacho kinaendelea kwa sasa kati ya msanii Diamond na Wema Sepetu.
Diamond hivi karibuni atatambulisha wimbo wake mpya wa Number 1 remix aliyoufanya nchini Nigeria na msanii Davido wa nchini humo, Kulingana na madai ya Baby Madaha yaonekana Diamond anatafuta Kick kwa kutoka na mwanadada Wema Sepetu na mpaka kutambulisha anataka kuoa.