Kinachoendelea
KIGOMA muda huu na hata kwenye kwenye Maandamano Makubwa ni hiki
wanachama wa CHADEMA wakiandamana kupinga ujio wa Dr SLAA na viongozi
wenzake mkoani.
Mods tunaomba postive na Negative Pictures
anachokutana nacho Dr.slaa ziruhusiwe hapa Jukwaani,naona watu wamekaa
kusifiana tu hapa.Ukweli ni Kwamba Dr.slaa amekutana na wakati Mgumu
akiwa Kigoma.Picha zingine zitakuja na saambili Usiku ITV,TBC NA STAR TV
wataonesha hali ya leo Kigoma walivyojitokeza Kupinga Ujio wa Dr.slaa.