Search in This Blog

MDADA HUYU AVUNJA CHOO MARA TATU BAADA YA KUKIKALIA, MCHEKI HAPA

ANAITWA Sarah Massey mama wa watoto wawili mkazi wa Chicago nchini Marekani, amejitokeza kama mwanamke mwenye umbo kubwa zaidi sehemu ya makalio.
Record-breaking rear: Sarah Massey shows off her seven foot wide posterior while cooking at home
Sarah ambaye amewahi kuvunja choo mara tu baada ya kukikalia, ana mzunguko wa futi 7 ambapo mara kadhaa amekuwa akipata shida kupita mlangoni.
Hata hivyo mwanamama huyu mwenye umri wa miaka 33 anasema  anajivunia kuwa mmoja wa wanawake wenye ‘figa’ la kufa mtu hapa ulimwenguni.
Problems: But the mother-of-two admits she suffers from limited mobility caused by her vast posterior 
Older: Sarah says her bottom attracts men years older than her, including Albert (left), the father of her sons
Tight fit: Along with doors, Sarah confesses to having problems doing up her seat belt because of her rear 
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger