"MSHAHARA WANGU KAMA WAZIRI HAUZIDI TSH MILION 6".HAYA NI MANENO YA MIZENGO PINDA
Waziri Mkuu amedai bungeni muda huu
kwamba mshahara wake hauzidi Tsh. 6mil na akadai wanaodai analipwa zaidi
ya hapo ni uzushi mkubwa kiasi kwamba yeye ni mkopaji tu katika mabenki
na kuwa mshahara huo ni pamoja na mapato ya mkewe. Source: Leo Bungeni -TBC