Msanii Nora wa Bongo Movies amewaomba
radhi wasanii wenzake pamoja na wengine kwa kutokushiriki kwenye
matatizo mbali mbali kama vile misiba na mengine..
Msanii huyo alizungumza na Gazeti moja
la udaku na Kusema hali hiyo imemtokea mara kwa mara kwa kuwa huwa yuko
bize sana kiasi anashindwa kushiriki katika shughuli hizo ..hii inakuja
baada ya Wasanii wa Bongo movies Kumsusia Wema Sepetu katika Msiba wa
Baba yake .