Kama ilivyokuwa maeneo ya Kariakoo jijini Dar katika miezi michache iliyopita, hali imekuwa hivyohivyo katika mitaa ya Mwanza ambapo pia wafanyabiashara wameamua kuingia kwenye mgomo wa kufunga maduka yao kushinikiza kushuka kwa bei za mashine hizo za Elektroniki.
Maeneo yaliyoathirika zaidi kwa mgomo huo ni maeneo yote ya Mwanza mjini na maeneo yote yanayozunguka jiji hilo.