Mwezi
ujao (January 2) aliyekuwa muigizaji wa Bongo Movie marehemu Juma
Kilowoko maarufu kama Sajuki atafikisha mwaka mmoja tangu afariki dunia.
Mkewe Wastara Mohamed (Wastara Sajuki) ameandika ujumbe wa kumkumbuka kipenzi chake kupitia Instagram.
“Siku
week mwezi hatimae mwaka unaingia tokea ukimbie mikononi mwangu mwetu,
milele nitakukmbuka daima nahisi uko sehemu nzuri unanisubiri, tal
2/1/2014 my bld anatimiza mwaka tokea atutoke katika hii dunia, nawaomba
tuwe pamoja katika duwa itakayofanyika mkoani songea kokte ulipo inua
mikono kumuombea juma kilowoko aka sajuki and mboni ya wastara”.
Ameandika Wasrata