Search in This Blog

PETER MSIGWA AMBAYE NI MBUNGE WA CHADEMA AUGUA GHAFLA NA KUKIMBIZWA HOSPITAL

Mbunge wa Iringa Mjini Kwa Tiketi ya CHADEMA Mh.Peter Msigwa(Mchungaji) amezidiwa ghafla na homa na kukimbizwa hospital,hali hiyo imetokea wkt wakiwa kwenye shughuli za kichama.
madaktari wanamuhudumia vizurr na anaendelea vyema sasa.
Taarifa zaidi zitakujia,
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger