MKURUGENZI na mwimbaji mahiri
na mpiga kinanda wa kundi la East African Melody, Hajji Mohamed amefariki Dunia
leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Marehemu Hajji Mohamed, enzi za uhai wake.
Habari kutoka ndani ya kundi
hilo zinasema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya presha, huku
alipofika Hospitalini hapo alikuwa akitembea mwenyewe.
No comments:
Post a Comment