HAYA SASA CHADEMA WASEMA MAFUNZO YA KUUNDA JESHI LA CHADEMA KUANZA WIKI IJAYO
Mh. Benson Kigaila amesema makambi kwa ajili ya mafunzo ya RedBrigade
yataanza wiki ijayo. Jeshi hilo litaundwa kwa madhumuni ya kuwalinda
viongozi wa chama cha chadema.
Jeshi la polisi Tanzania pamoja na Rais Jakaya Kikwete wamekuwa
wakikemea undwaji wa vingundi vya ulinzi kwasababu vinaweza changia
katika upoteaji wa amani.
Chadema wameamua kuunda kikundi chao cha kuwalinda kwa sababu
viongozi wao pamoja na wanainci wamekuwa wakipigwa mbele ya jeshi la
polisi