Uvaaji wa wanawake wa namna hii huamsha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume kwa kiwango kikubwa sana....
Carol Botwin ambaye ni mtaalamu anayeaminika sana kwenye masuala ya
tendo la ndoa na uhusiano akiwa ameandika vitabu kadhaa kuhusu mambo
hayo, kama kile cha Men Who Can’t Be Faithful, anasema, wanaume kutoka
nje, siyo jambo wanalopanga, bali hujikuta tu na kujilaumu au
kushangaa baadaye.