MKUU WA KITUO CHA POLISI WILAYA YA KILINDI APIGWA RISAS
Mkuu wa kituo cha wilaya ya Kilindi iliyopo mkoani Tanga Inspecta Nsekelo amejiruhiwa wakati jeshi la polisi likipambana vikali na kundi la watu waliopo porini katika kijiji cha Lolagana Mkuu huyo wa polisi alijeruhiwa kwa kupigwa risasi