MTOTO
wa msanii nguli wa Vichekesho hapa nchini ''Hamza king majuto''
akijichana na Wastara alyiekuwa mke wa Marehem sajuki, Hii ni ishara ya
upendo kwa shemejiake maana Hamza king majuto aliishi vizuri na
marehemu Sajuki enzi za uhai wake, yani walikuwa marafiki sana Hivyo huchukuwa muda wake kumpa kampani shemejiake kama kawaida.