LILE BOMU LILILOKUTWA MAENEO YA KANISANI LALILULIWA MUDA HUU
Kishindo
kikubwa kimesikika maeneo ya karibu na Mazimbu mkoani Morogoro muda huu
baada ya wanajeshi wa JWTZ kulipua kulilipua lile bomu lilikuwa katika
makazi ya watu toka juzi....!Taarifa zaidi na picha zitawajia hivi
punde,stay tuned.