Search in This Blog

BOTI ILIYOKUWA NA ZAIDI YA WATU 600,YAPATA DHORUBA




Boti ya Kilimanjaro 2 iliyokuwa ikitokea Pemba kuelekea Unguja imepigwa dhoruba na kunusurika kuzama shuhuda ameongea na chumba cha habari Clouds Fm na amesema boti hiyo ilipofika Nungwi ilizama mbele na kunyanyuka nyuma,watu waliokuwa mbele wote wameachwa hapo hapo baharini mpaka sasa manahodha wameendelea na safari kwa kuogopa kuzama endapo wangesimama.
bahari
Boti hiyo ina zaidi ya abiria 600,chanzo cha dhoruba hiyo kimeelezwa ni upepo,kwa sasa abiria wamepewa life jacket kwa ajili ya kujiokoa,na boti bado inaendelea na safari kuelekea Unguja,boti hiyo iliondoka sa 2 asubuhi Pemba.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger