Baada
ya kufunguliwa shtaka hilo, Lissu ambaye alikuwa wakili wa Sugu
aliitaka mahakama ifutilie mbali shtaka hilo kwani halina msingi wowote
wa kisheria na baada ya mabishano ya kisheria baina ya Lissu na wanasheria wa serikali kushindwa kuthibitisha kuwa neno Mpumbavu ni lugha ya matusi, hakimu ameamua kufuta shtaka hilo na ametangaza kuwa Sugu yuko huru na hana kesi ya kujibu.