Oooh! Nooh! Wakati akimpa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ gari la
Sh. milioni 38 huku akitawanya mamilioni ya fedha kwenye matukio
mbalimbali, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
anadaiwa kunyemelewa na laana kufuatia baba yake, Abdul Jumaa kuugua na
kuvimba miguu bila msaada wowote.
Kwa mujibu wa chanzo makini cha Ijumaa, baba wa staa huyo anayeishi
Magomeni-Kagera jijini Dar, amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuvimba
miguu na hakuna msaada wowote anaoupata kwani chanzo cha mapato
anachokitegemea ni kodi tu ya nyumba ambayo anaipata kutoka kwa
wapangaji wachache alionao.
BOFYA HAPA KUKISIKIA CHANZO
“Yaani tunashangaa
kusikia Diamond ana fedha nyingi, juzikati tuliona katika gazeti
kamnunulia mama yake gari la milioni 38 (Toyota Lexus-Harrier) sasa kwa
nini asimthamini baba yake hata kidogo?
“Ukweli ni kwamba baba Diamond anasumbuliwa na tatizo la miguu kuvimba.
“Amekuwa akilalamika mara kwa mara lakini Diamond hatujawahi
kumuona,” kilinyetisha chanzo hicho na kuongeza:“Juzikati hapa baba
Diamond alishikika kwelikweli miguu, akaugulia mwenyewe ndani pasipo
kuwa na msaada wowote tena nasikia mzee huyo hataki hata kuongelea
lolote kuhusu Diamond maana haoni umuhimu wa kufanya hivyo wakati
amemsusa muda mrefu sana.”
MATIBABU HAYAZIDI MILIONI
Katika aya nyingine,
chanzo hicho kilidai kwamba ugonjwa wa miguu ambao unamsumbua mzazi
huyo, gharama za matibabu haziwezi kufikia hata shilingi milioni moja za
madafu achilia mbali mamilioni anayoyatapanya staa huyo.
“Ingekuwa tatizo kubwa sana, hapo sawa, kwa sababu miguu huwa
inamvimba lakini akipata dawa za kutumia huwa inarudi katika hali ya
kawaida, kwa nini lakini anamfanyia hivyo baba yake? Amemkosea nini?”
Kilihoji chanzo hicho.
UTAJIRI WAKE WAANIKWA
Wakati chanzo hicho
kikiweka nukta hapo kwa muda, mapaparazi wetu walipewa malalamiko
mengine kutoka kwa jirani mmoja wa baba Diamond ambaye alimsihi amsaidie
mzazi wake kwani anaamini uwezo anao kupitia kumbukumbu ambazo Diamond
mwenyewe alizithibitisha kupitia vipindi mbalimbali vya runingani kama
Take One na Spora Show vya CloudsTV.
Pia kwenye vyombo vingine vya habari zikiwemo redio na magazeti pendwa ya Global Publishers.
Jirani huyo alidai kwamba mwaka jana Diamond alitangaza kuwa ana
utajiri wa Sh. bilioni moja ikiaminika kwamba mwaka huu umeongezeka mara
dufu.
“Nakumbuka mwaka jana kupitia Kipindi cha Spora Show na kile cha Take
One, Diamond alikiri kuwa ana mkwanja usiopungua bilioni moja, hiyo
ilikuwa kwa mwaka jana, sasa mwaka huu unadhani atakuwa na shilingi
ngapi? Aache hizo bwana, amsaidie baba yake hata kwa kumpa mtaji mdogo
wa biashara ambao unaweza kumsaidia,” alisema jirani huyo.
MATANUZI YA DIAMOND, WEMA
Katika kuendelea
kuichimba habari hiyo, mapaparazi wetu walinasa malalamiko kutoka kwa
jirani mwingine wa mzazi huyo ambaye alieleza masikitiko yake kwa
kulinganisha starehe ambazo staa huyo anazifanya na asali wake wa moyo,
Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na maisha halisi ya baba yake.
“Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa habari za mastaa, naona kila siku
kwenye vyombo vya habari jinsi gani Wema na Diamond wanavyotumia fedha
nyingi katika masuala ambayo hayana ulazima kiivyo.
“Sisi kama
majirani hatupendezwi na hali hii, angekuwa anakuja angalau siku
mojamoja kumuona baba yake kuliko kila siku kumhudumia mama yake pekee,”
alisema jirani huyo.
TATIZO NI NINI?
Mapaparazi wetu waliingia
mzigoni kusaka kiini halisi kwa nini Diamond amwage fedha nyingi kwa
mama yake pasipo kumkumbuka japo kiduchu baba yake ambapo ilielezwa kuwa
staa huyo wa Mdogomdogo hakuwa na ugomvi wowote na mzazi wake huyo.
“Kama ni ugomvi ulikuwepo kati ya mama na baba lakini Diamond
hahusiki, tunashangaa kuona kama staa huyo naye anaweza kumsusia baba
yake,” kilieleza chanzo na kuongeza:
“Mbaya zaidi nasikia Diamond amekuwa mzito kupokea simu za baba yake,
sasa huoni kama siyo jambo la busara, mzazi ni mzazi tu hata iweje. Kwa
mtazamo wangu kinachofuata ni laana.
“Kuna mifano ya watu wengi ambao waliingia kwenye laana za wazazi wao
na wakajikuta kama siyo kufulia kama (wanatajwa mastaa waliofulia wa
muziki Bongo) au hata kukutwa na umauti.
“Jambo hili si la
kibinadamu tu, kwa wale wanaosoma vitabu vitakatifu watakuwa na mifano
mingi ya watu waliowakosea wazazi wao wakalaaniwa.”
BABA DIAMOND ANASIKITISHA
Ijumaa lilipomtafuta
baba Diamond kwa njia ya simu aliongea maneno ya kusikitisha huku
akikataa katakata kumzungumzia kijana wake huyo.
“Jamani naomba mumuache Diamond na maisha yake, sitaki kabisa kusikia
habari zake maana hata nikiongea naonekana najipendekeza kwake.
“Namshukuru Mungu, kama ni kuumwa kwa sasa naendelea vizuri na maisha yangu, niacheni nipumzike,” alisema mzee huyo kwa unyonge.
DIAMOND ANASEMAJE?
Alipotafutwa Diamond ili
kumsikia anazungumziaje madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.
Tunaamini atasoma habari hii hivyo si vibaya akatutafuta ili afunguke
kwa upande wake.
MAONI YA MHARIRI
Diamond ni staa mkubwa kwa sasa
ndani na nje ya Bongo, uwezo alionao kifedha unapaswa kuendana na
baraka za wazazi wa pande zote mbili. Vitabu vya Mungu vinatufundisha
kwamba wazazi ndiyo Miungu wetu hapa duniani hivyo hata kama kuna kosa
amefanya, mzazi atabaki kuwa mzazi tu. Hatutakiwi kumkosoa!
Showing posts with label DIAMOND. Show all posts
Showing posts with label DIAMOND. Show all posts
HII NDIO HEKAHEKA INAYOMHUSU MAMA WA DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND NI MWIZI, KANIIBIA WIMBO WANGU, HAYA NI MAENO YA WABABA
Malalamiko
ya wasanii kuibiana au kupigana kanzu kwenye kazi zao yaliripotiwa sana
mwaka jana na mwaka huu mambo yalikuwa shwari, lakini baada ya kuvuka
nusu ya mwaka yameibuka tena.
Mshiriki wa shindano la kuimba la Bongo Star Search (BSS) , Wababa amewatuhumu maswaiba wa ‘Muziki Gani’ Nay wa Mitego na Diamond Platinumz kwa kumuibia kazi zake kwa wakati tofauti.
Akiongea kupitia Friday Night Live ya East Africa TV, Wababa amesema Diamond amemuibia wimbo wake ambao alikua anaiita ‘Kitorondo’ na kwamba aliibadilisha jina baadae.
“Kiukweli kuhusu Diamond, mimi mwenyewe nimetumiwa hiyo ngoma ambayo ameitoa, nimeiskiliza jinsi ilivyo kuanzia idea, mwendo, style ambazo anafanya. Ambayo ameibadilisha jina tu baada ya ya kwamba ilikuwa mitandaoni nilikuwa nimemfatilia ilikuwa inaitwa Kitorondo mwezi mmoja kama uliopita. Kwa hiyo nilishindwa kulalamika kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa analalamika kuwa imevuja. Kwa hiyo sikuona sababu ya kuongea kitu kwa sababu haikuwa official. Kwa hiyo sikuwa na sababu ya kucomplaini kwa sababu haikuwa official, lakini mpaka jana ina maana ilikuwa serious kama biashara.” Ameeleza Wababa. Wababa
Alipoulizwa ni wapi ambapo Diamond aliusikia wimbo huo, amesema huo ni wimbo wake alioutoa miaka minne iliyopita akiwa na Dogo Asley na aliuweka kwenye mtandao wakati anatumia jina la Nurdi, kabla hajaanza kutumia jina la Wababa aliposhiriki BSS. “Ni nyimbo ambayo iko mtaani na watu wengi wanaielewa. Kwa hiyo sijaelewa..” Kwa upande mwingine, Wababa amedai kuwa alifanya kazi na Nay wa Mitego katika studio za Mazoo lakini baaadae Nay alirudi studio na kuongea na Mazoo kutaka kuunua wimbo huo kwa shilingi milioni moja bila kumshirikisha Wababa.
“Hivi karibuni nimefanya ngoma mpya na Nay wa Mitego, ni ngoma ambayo ilikuwa iko paid kwake pamoja na studio. Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba siku mbili baada ya kufanya kazi nikapigiwa simu na producer akaniambia kwamba jamaa amerudi tena kwa ajili ya kutaka kununua wimbo kwa milioni moja, auchukue wimbo aende akaufanye sehemu nyingine. Baada ya hapo hata mahusiano yangu na mshikaji yamekuwa sio mazuri. Ukimpigia simu anakwambia yuko busy kuna kazi anafanya atanicheki, hadi kufikia leo sielewi.”
Nay alipigiwa simu lakini hakuwa anapatikana kwa muda huo.
Mshiriki wa shindano la kuimba la Bongo Star Search (BSS) , Wababa amewatuhumu maswaiba wa ‘Muziki Gani’ Nay wa Mitego na Diamond Platinumz kwa kumuibia kazi zake kwa wakati tofauti.
Akiongea kupitia Friday Night Live ya East Africa TV, Wababa amesema Diamond amemuibia wimbo wake ambao alikua anaiita ‘Kitorondo’ na kwamba aliibadilisha jina baadae.
“Kiukweli kuhusu Diamond, mimi mwenyewe nimetumiwa hiyo ngoma ambayo ameitoa, nimeiskiliza jinsi ilivyo kuanzia idea, mwendo, style ambazo anafanya. Ambayo ameibadilisha jina tu baada ya ya kwamba ilikuwa mitandaoni nilikuwa nimemfatilia ilikuwa inaitwa Kitorondo mwezi mmoja kama uliopita. Kwa hiyo nilishindwa kulalamika kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa analalamika kuwa imevuja. Kwa hiyo sikuona sababu ya kuongea kitu kwa sababu haikuwa official. Kwa hiyo sikuwa na sababu ya kucomplaini kwa sababu haikuwa official, lakini mpaka jana ina maana ilikuwa serious kama biashara.” Ameeleza Wababa. Wababa
Alipoulizwa ni wapi ambapo Diamond aliusikia wimbo huo, amesema huo ni wimbo wake alioutoa miaka minne iliyopita akiwa na Dogo Asley na aliuweka kwenye mtandao wakati anatumia jina la Nurdi, kabla hajaanza kutumia jina la Wababa aliposhiriki BSS. “Ni nyimbo ambayo iko mtaani na watu wengi wanaielewa. Kwa hiyo sijaelewa..” Kwa upande mwingine, Wababa amedai kuwa alifanya kazi na Nay wa Mitego katika studio za Mazoo lakini baaadae Nay alirudi studio na kuongea na Mazoo kutaka kuunua wimbo huo kwa shilingi milioni moja bila kumshirikisha Wababa.
“Hivi karibuni nimefanya ngoma mpya na Nay wa Mitego, ni ngoma ambayo ilikuwa iko paid kwake pamoja na studio. Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba siku mbili baada ya kufanya kazi nikapigiwa simu na producer akaniambia kwamba jamaa amerudi tena kwa ajili ya kutaka kununua wimbo kwa milioni moja, auchukue wimbo aende akaufanye sehemu nyingine. Baada ya hapo hata mahusiano yangu na mshikaji yamekuwa sio mazuri. Ukimpigia simu anakwambia yuko busy kuna kazi anafanya atanicheki, hadi kufikia leo sielewi.”
Nay alipigiwa simu lakini hakuwa anapatikana kwa muda huo.
SIRI YAFICHUKA, WEMA NA DIAMONDA SASA NI ......
IN THE NAME OF #INSTAGRAM
ONE
OF WEMA'S FAN COME WITH A DOUBT CONCERNING A RING WHICH SEEMED ON THE
WEMA'S COURT FINGER SO THE QUESTION COMES DOES WEMA SEPETU TAKE IT FOR
DECORATION OR NEAR TO MARRIAGE??
POWER TO YOU!!
" ONE OF WEMA'S FAN COME WITH A DOUBT CONCERNING A RING WHICH SEEMED ON THE WEMA'S COURT FINGER SO THE QUESTION COMES DOES WEMA SEPETU TAKE IT FOR DECORATION OR NEAR TO MARRIAGE?? POWER TO YOU!!
" ONE OF WEMA'S FAN COME WITH A DOUBT CONCERNING A RING WHICH SEEMED ON THE WEMA'S COURT FINGER SO THE QUESTION COMES DOES WEMA SEPETU TAKE IT FOR DECORATION OR NEAR TO MARRIAGE?? POWER TO YOU!!
POMBE YATIBUA FUTARI NYUMBANI KWA DIAMOND
NIkama jina la wimbo wake mpya wa Mdogo Mdogo ambao ndani yake kuna
kikorombwezo ‘mwendawazimu kaingiaje’, ndiyo hali iliyotokea kwenye
futari ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
alipofuturisha nyumbani kwake ambapo pombe zilitibua shughuli nzima.
Pamoja na kufuturisha, pia Diamond alimwandalia pati mama yake mzazi, Sanura Kassim a.k.a Sandra aliyekuwa akisheherekea siku yake ya kuzaliwa.
WAALIKWA WATAZAMANA
Katika tukio hilo lililojiri nyumbani kwa staa huyo maeneo ya Sinza-Mori jijini Dar mapema wiki hii, wageni waalikwa walijikuta wakitazamana na kuhoji uhalali wa chupa za pombe kuwepo ndani katika sehemu ambayo walitakiwa kufanyia dua.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti mbele ya wanahabari wetu, baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo maustadhi walioshangazwa na jambo hilo, walihoji kuwa kulikuwa na ulazima gani au kilishindikana nini wahusika kuziondoa pombe hizo halafu wazirudishe baadaye.
“Unajua huu ni mwezi wa imani zaidi, sasa linapotokea suala la ibada kama hili la kufuturisha basi kuna vitu vingine unatakiwa uvifiche ikiwezekana uachane navyo kabisa.
“Sioni sababu ya zile pombe kuachwa pale sebuleni kila aliyeingia ndani kula keki anakutana nazo uso kwa uso,” alisikika akilalama mmoja wa waumini wa Dini ya Kiislamu walioalikwa.
POMBE ZAONDOLEWA
Hata hivyo, pombe hizo kali ziliondolewa mahali hapo mara moja kisha shughuli ikaendelea.
SHAMPEINI YA WEMA YATILIWA SHAKA
Katika kuendelea kuweka walakini, muumini mwingine alikwenda mbali zaidi na kuitilia shaka shampeini iliyofunguliwa kuwa ni nani aliichunguza kama ilikuwa na kilevi au la!.
“Wakati shampeini inaletwa niliona, aliileta kijana mmoja namjua kwa jina la James ambaye ndiye aliyempatia Babu Tale (meneja wa Diamond), naye akampatia Wema Sepetu (laazizi wa Diamond).
“Sidhani kama walikuwa na muda wa kusoma kama ina kilevi au la ndiyo maana baada ya Wema kuifungua watu waliikataa wakidhani ina kilevi hivyo ikamdodea mrembo huyo kwani ilidaiwa kama ilikuwa na kilevi ni jambo baya kwa mwezi mtukufu.
WAINYWA WATATU
“Walioinywa ni watatu tu, Wema, mama Diamond na dada yake Diamond, Esma Platnumz,” alisema mmoja wa waumini hao akitoa hoja juu ya kuitilia shaka shampeini hiyo ambayo waandishi wetu hawakupata nafasi ya kusoma maelezo yake.
MSIKIE BABU TALE
Baada ya kupata maelezo hayo, Ijumaa lilijaribu kuhoji kwa wahusika ambapo Meneja wa Diamond, Babu Tale alisema kuwa licha ya kutokaguliwa kwa Shampeini lakini haikuwa na kilevi.
“Shampeini haikuwa na kilevi, lakini kuhusu suala la chupa za pombe pale sebuleni, ule ulikuwa ni urembo tu ambao upo siku zote.
Katika shughuli hiyo, pamoja na kwamba alikuwa nchini Marekani, Diamond alimzawadia mama yake gari aina ya Toyota Lexus Harrier lililogharimu Sh. milioni 38.1 alilokabidhiwa na Babu Tale.
Pamoja na kufuturisha, pia Diamond alimwandalia pati mama yake mzazi, Sanura Kassim a.k.a Sandra aliyekuwa akisheherekea siku yake ya kuzaliwa.
WAALIKWA WATAZAMANA
Katika tukio hilo lililojiri nyumbani kwa staa huyo maeneo ya Sinza-Mori jijini Dar mapema wiki hii, wageni waalikwa walijikuta wakitazamana na kuhoji uhalali wa chupa za pombe kuwepo ndani katika sehemu ambayo walitakiwa kufanyia dua.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti mbele ya wanahabari wetu, baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo maustadhi walioshangazwa na jambo hilo, walihoji kuwa kulikuwa na ulazima gani au kilishindikana nini wahusika kuziondoa pombe hizo halafu wazirudishe baadaye.
“Unajua huu ni mwezi wa imani zaidi, sasa linapotokea suala la ibada kama hili la kufuturisha basi kuna vitu vingine unatakiwa uvifiche ikiwezekana uachane navyo kabisa.
“Sioni sababu ya zile pombe kuachwa pale sebuleni kila aliyeingia ndani kula keki anakutana nazo uso kwa uso,” alisikika akilalama mmoja wa waumini wa Dini ya Kiislamu walioalikwa.
POMBE ZAONDOLEWA
Hata hivyo, pombe hizo kali ziliondolewa mahali hapo mara moja kisha shughuli ikaendelea.
SHAMPEINI YA WEMA YATILIWA SHAKA
Katika kuendelea kuweka walakini, muumini mwingine alikwenda mbali zaidi na kuitilia shaka shampeini iliyofunguliwa kuwa ni nani aliichunguza kama ilikuwa na kilevi au la!.
“Wakati shampeini inaletwa niliona, aliileta kijana mmoja namjua kwa jina la James ambaye ndiye aliyempatia Babu Tale (meneja wa Diamond), naye akampatia Wema Sepetu (laazizi wa Diamond).
“Sidhani kama walikuwa na muda wa kusoma kama ina kilevi au la ndiyo maana baada ya Wema kuifungua watu waliikataa wakidhani ina kilevi hivyo ikamdodea mrembo huyo kwani ilidaiwa kama ilikuwa na kilevi ni jambo baya kwa mwezi mtukufu.
WAINYWA WATATU
“Walioinywa ni watatu tu, Wema, mama Diamond na dada yake Diamond, Esma Platnumz,” alisema mmoja wa waumini hao akitoa hoja juu ya kuitilia shaka shampeini hiyo ambayo waandishi wetu hawakupata nafasi ya kusoma maelezo yake.
MSIKIE BABU TALE
Baada ya kupata maelezo hayo, Ijumaa lilijaribu kuhoji kwa wahusika ambapo Meneja wa Diamond, Babu Tale alisema kuwa licha ya kutokaguliwa kwa Shampeini lakini haikuwa na kilevi.
“Shampeini haikuwa na kilevi, lakini kuhusu suala la chupa za pombe pale sebuleni, ule ulikuwa ni urembo tu ambao upo siku zote.
“Hata mama Diamond akitaka kuswali huwa
anasogeza meza na kufanya ibada yake ya swala, zile chupa zinakuwa zipo
palepale ila kwa Wabongo siku zote wapo kwa ajili ya kuwakatisha watu
tamaa tu.“Zile chupa huwa zipo kila siku zimekaa tu kama nilivyosema
kuwa ni urembo,” alisema Babu Tale.
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
DIAMOND HAKUWEPOKatika shughuli hiyo, pamoja na kwamba alikuwa nchini Marekani, Diamond alimzawadia mama yake gari aina ya Toyota Lexus Harrier lililogharimu Sh. milioni 38.1 alilokabidhiwa na Babu Tale.
HIZI NDIO PICHA ZAIDI YA 40 ZINZOONYESHA JINSI DIAMOND PLATINUM ALIPOPOKELEWA UWANJA WA TAIFA, NI SHIDAA
Hizi ni baadhi ya picha za mapokezi ya Diamond Platnumz.
Subscribe to:
Posts (Atom)

