MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA UKIWA KATIKA JENEZA TAYARI KWA WATU MBALIMBALI KUAGA KATIKA VIWANJA VYA LEAD
Umati
wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha
msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by just incase anything
happens. Sasa naskia watu badala ya kwenda na kuaga wao wako busy
wanapiga picha kha hizi teknolojia aiseee tutajutaaaa
Baadhi ya ma super star wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga