Hizi
picha ni za msichana anayetajwa kuwa ni Fatma aka Brown Berry wa Ilala
Dar es Salaam ambae amekamatwa akisafirisha madawa ya kulevya au “unga”
nchini Misri. Pia chini kuna video inayoonyesha maafisa wa Egypt
wakionyesha jinsi unga huo ulivyofichwa ndani ya begi kabla ya kubambwa
Fatma akiwa na inayesemekana kuwa ni mwanae
Fatma aka Brown Berry akiwa na mpenzi wake
Hapa chini ni video inayoonyesha kukamatwa kwake na unga huo
Hapa chini ni video inayoonyesha kukamatwa kwake na unga huo