Mtu mmoja asiyefahamika jina anayedaiwa kuwa ni mwanga amenaswa na polisi baada ya kudondoka katika eneo la Ilala Bungoni, jijini Dar akiwa kama alivyozaliwa.
Watu waliokuwa katika eneo hilo walishangaa kuona mtu wa namna hiyo ametokea kusikojulikana na kuanguka na vitu ambavyo inadaiwa ni vya kiuchawi.